Tuesday, November 19, 2013
Posted by
Feel At Home
at
Tuesday, November 19, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Sunday, November 17, 2013
BREAKING NEWS: WAFANYA BIASHARA KARIAKOO WAGOMA KUFUNGUA MADUKA KWA SABABU YA MASHINE ZA TRA
Wafanyabishara ambao wanamiliki maduka maeneo yote ya kariakoo leo asubuhi wameweka mgomo wa pamoja wakutofungua maduka yao wakipinga uamuzi wa TRA kutaka kila duka kuwa na mashine.
Mitaa yote ya Kariakoo, Msimbazi, Uhuru, Lumumba, Aggrey, Mchikichi, Narung'ombe, Tandamti, Congo, kote maduka yamefungwa baada ya kutangaziwa na umoja wa wafanyabiasha.
Wafanyabishara wanapinga bei kubwa ya mashine ambayo ni milioni moja mpaka laki nane
Posted by
Feel At Home
at
Sunday, November 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
MATUKIO KADHAA KATIKA BIRTHDAY PARTY YA MTU WANGU WA NGUVU NA BLOGGER MWENZANGU KANOGA MATONDO A.K.A KANOSYTOWN
Posted by
Feel At Home
at
Sunday, November 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Wednesday, July 24, 2013
H-baba: acheni ulimbukeni wa kufuturisha.. Kwanza Unaishi Na Mke Haujamuoa Halaf Unajifanya Unafuturisha....Cheki Hii Video
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, July 24, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Saturday, July 20, 2013
Friday, July 19, 2013
Wednesday, July 17, 2013
Picha 6 Zinaozoonyesha Magari Yaliyobeba Mabomba Ya Gesi Yakiingia Mkoani Mtwara
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, July 17, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Thursday, June 27, 2013
Ulinzi wa Obama haujawahi kutokea Afrika
Dar es Salaam. Ulinzi katika ziara ya Obama ni wa hali ya juu 
kuliko ulinzi wa aliyewahi kupewa Rais yeyote wa Marekani kwa safari 
yake ya Afrika mwaka huu.
Tayari jeshi la nchi hiyo limewasili nchini, 
kuweka mambo sawa na kukagua maeneo yote ya karibu na sehemu 
atakazotembelea na kupita wakati wa ziara hiyo. Maaskari na majasusi 
zaidi ya 500 wapo Dar es Salaam kuhakikisha usalama huo na kuweka vifaa 
mbalimbali vya mawasiliano Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam.
Licha ya hilo, ziara yake kutakuwa na askari 1,687
 wakataokuja kwa meli maalumu kubwa ya kivita iliyosheheni silaha 
mbalimbali, ikiwamo ndege sita za kivita aina ya AV-8B Harrier na 
helikopta za kivita 23, ambazo zinatarajiwa kupasua anga la Tanzania 
kuimarisha ulinzi.
Meli hiyo ya kisasa aina ya Wasp Class (Uk 1), pia
 itakuwa imebeba meli nyingine zaidi ya tano maalumu kwa kubeba vifaru, 
magari ya deraya, askari na vifaa vingine itatia nanga Bahari ya Hindi 
kuongeza nguvu iwapo lolote litatokea.
Taarifa inaonyesha italazimika kuwapo kwa meli 
tatu za aina hiyo wakati wa ziara yake nchini Senegal, Tanzania na 
Afrika Kusini kwani mwendo wake siyo kasi hivyo kulazimika kutumia zote 
hizo kwa ajili hiyo.
Meli hiyo kubwa imeundwa kuwezesha askari wa 
Marekani kuingia kwa urahisi eneo la vita kwa brigedi nzima, kwani 
wanaweza kutumia aina zote za vita majini, angani na ardhini. Ni meli 
aina hiyo zilizotumika vita vya Marekani na Iraq. Licha ya mitambo ya 
kivita, ina hospitali kubwa yenye uwezo wa kulaza zaidi ya wagonjwa ya 
600.
Habari kutoka gazeti la mwananchi
Habari kutoka gazeti la mwananchi
Membe: Msije Dar wakati wa ziara ya Obama
Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje, Bernard Membe amewashauri
 watu walioko mikoani kusitisha safari za kuja Dar es Salaam wakati wa 
ziara ya Rais wa Marekani, Barrack Obama kutokana na wingi wa wageni 
katika jiji hilo.
Ugeni huo pamoja na ule wa viongozi kumi na moja 
kutoka nchi mbalimbali duniani watakaohudhuria mkutano wa kimataifa wa 
Smart Partnership utakaofunguliwa kesho na Rais Jakaya Kikwete kwenye 
Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere, umesababisha 
kuimarishwa kwa ulinzi katika maeneo mbalimbali hasa katika hoteli za 
kitalii ambazo zimeanza utaratibu wa upekuzi kwa wageni wake.
Akizungumza na katika mahojiano na Redio ya Clouds jana, Membe alisema jiji limefurika kwa wingi wa wageni.
“Hoteli na nyumba za wageni zimefurika wageni na 
magari mengi yamekodiwa. Kwa ujumla, huduma za kijamii zitakuwa shida,” 
alisema.
Rais Obama na mkewe Michelle watawasili nchini 
Jumatatu na tayari wapambe na maofisa usalama kutokana Marekani wameanza
 kuwasili. Mbali ya ujio huo, wake wa marais kutoka nchi 14 za Afrika 
watakaokutana na Laura Bush, mke wa Rais wa zamani wa Marekani, George 
Bush. Pia Michelle atahudhuria mkutano huo utakaofanyika Jumanne na 
Jumatano ijayo.
“Jiji la Dar es Salaam litakuwa na mambo mengi kwa
 hiyo wale wenye kuja kutaka kustarehe wafute safari zao,” alisema na 
kuongeza: “Kama kuna watu ambao hawapo Dar es Salaam na hawana sababu za
 kuja mjini waache tu mpaka wageni watakapoondoka kwa sababu jiji la 
litakuwa limejaa na baadhi ya barabara zitachukuliwa zitumike na wageni 
hao.”
Alisema katika kipindi cha siku tano zijazo, 
baadhi ya barabara za Jiji la Dar es Salaam zitakuwa na shughuli nyingi 
na nyingine zitalazimika kufungwa. Barabara itakayofungwa ni pamoja na 
ile ya Mwai Kibaki na ile ya Bagamoyo itakuwa na shughuli nyingi pia 
wakati Michelle atakapokwenda Jumba la Makumbusho, Jumanne ijayo.
Wasafiri wa mikoani
Wasafiri wa mikoani wataathirika zaidi Jumanne 
ijayo wakati Rais Obama atakapokwenda kutembelea mitambo ya kufua umeme 
ya Kampuni ya Symbion Ubungo.
Kituo hicho kipo Barabara ya Morogoro, ambayo ndiyo inayotumiwa na magari yanayoingia na kutoka mikoani.
Rais Obama atakwenda katika kituo hicho yapata saa
 4.00 asubuhi na kwa kiasi kikubwa itaathiri magari ya usafirishaji wa 
mizigo na abiria yatakayokuwa yanatoka na kuingia Dar es Salaam kabla na
 wakati huo.
Wengine watakaoathirika ni wakazi wa Kimara, Mbezi, Kibamba hadi
 Kiluvya. Athari nyingine ya usafiri itakuwa katikati ya jiji ambako 
Obama na msafara watakuwa na shughuli nyingi na hasa ile ya ufunguzi wa 
barabara karibu na Ikulu na kukutana na wafanyabiashara kwenye Hoteli ya
 Hyatt Regency, Jumatatu ijayo.
Watumiaji wengine wa barabara watakaopata shida ni
 wale wa Barabara ya Bagamoyo hasa pale Rais Obama na mkewe 
watakapokwenda kuweka mashada ya maua kwenye ubalozi wa zamani wa 
Marekani uliopuliwa na mabomu mwaka 1998.
Ulinzi hoteli za kitalii
Mashushushu wa ndani na nje ya nchi wamezingira 
kwenye hoteli kubwa za Dar es Salaam na walionekana katika baadhi ya 
hoteli hizo, wakiwatumia mbwa maalumu kufanya ukaguzi wa chumba hadi 
chumba.
Tofauti na utaratibu uliozoeleka, baadhi ya hoteli
 zenye hadhi ya nyota tano zimeanza kutumia mitambo maalumu ya kompyuta 
kuwafanyia ukaguzi wageni wote wanaoingia.
Wamchongea JK
Mtandao wa Kutetea Waandishi wa Habari Duniani 
(CPJ), umemwandikia barua Rais Obama ukimtaka kujadiliana kwa kina na 
mwenyeji wake Rais Kikwete wakati wa ziara yake nchini kuhusiana na 
vitendo vya kuuawa na kuteswa kwa waandishi wa habari wa Tanzania.
Katika barua hiyo iliyosainiwa na Mtendaji Mkuu wa
 CPJ, Joel Simon na nakala yake kusambazwa kwa viongozi mbalimbali 
akiwemo Rais Kikwete mwenyewe, mtandao huo ulitolea mfano wa kuuawa kwa 
Mwandishi wa Channel 10, Daudi Mwangozi na Issa Ngumba wa Redio Kwizera.
 Pia kupigwa na kuteswa kwa Mhariri Mtendaji wa Habari Corporation, 
Absalom Kibanda.
Akizungumzia mkutano wa Smart Partnership utakaoanza kesho, 
Membe alisema utajadili jinsi ya kutumia sayansi na teknolojia kukuza 
uchumi.
Viongozi watakaohudhuria mkutano huo ni Waziri 
Mkuu wa Malayasia, Najib Razak, Rais wa Uganda, Yoweri Museveni, Uhuru 
Kenyetta (Kenya), Boni Yayi (Benin), Ali Omar Bongo (Gabon), Ikililou 
Dhoinine (Comoro), Faure Gnassingbe (Togo), Ernest Koroma (Sierra 
Leone), Blaise Compaore (Burkina Fasso), Mahinda Rajapaska (Sri Lanka) 
na Mfalme wa Swaziland, Mswati II, ambaye aliwasili jana.
Habari kutoka gazeti la Mananchi
Habari kutoka gazeti la Mananchi
Wednesday, June 26, 2013
Listen & Download New Song-Solo Thang-Kalata 3
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
Nash_MC_akiwaponda_mashabiki_wa_hip_hop_Tanzania
Posted by
Feel At Home
at
Wednesday, June 26, 2013
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 
 Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
Email This
BlogThis!
Share to X
Share to Facebook
 

 
  
 














 
 
 
 
